1 Chronicles 23:16-18

16 aWazao wa Gershomu:
Shebueli alikuwa wa kwanza.
17Wazao wa Eliezeri:
Rehabia alikuwa wa kwanza.
Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.
18Wana wa Ishari:
Shelomithi alikuwa wa kwanza.
Copyright information for SwhNEN